Latest Articles
Israel yaanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Lebanon licha ya ukosoaji wa Trump
Trump alisema Jumanne wa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anastahili "kuzingatia kushirikishwa kwa Lebanon" katika mpango wa amani uliofikiwa kumaliza mzozo mashariki ya kati.
View ArticleMSHIKAMANO WA KITAIFA WAPEWA KIPAUMBELE KATIKA KIKAO CHA WAZIRI SANGU NA...
Na. OWM (KAM), MorogoroWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga na mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu katika...
View ArticlePBPA YASHIRIKI WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026 DODOMA
NA MWANDISHI WETUWAKALA wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umeshiriki ufunguzi rasmi wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma. Maonesho...
View ArticleTAKUKURU GEITA YAWAFIKISHA MAHAKAMANI WATUMISHI 9 KWA UBADHIRIFU WA FEDHA
TAKUKURU Mkoa wa Geita imefikisha mahakamani watumishi 9 wa umma kwa tuhuma za kutumia vibaya na kuiba fedha za umma kiasi cha shilingi milioni 89,055,107 na senti 50. Watumishi hao walikamatwa baada...
View ArticleSANGU: MAHUSIANO MEMA NI MSINGI WA KUIMARISHA UMOJA NA DEMOKRASIA NCHINI
Na. OWM (KAM), MorogoroWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga na mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu katika...
View ArticleKUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 30 , TRA YAFANYA KONGAMANO LA MAADILI NA...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia Idara ya Mambo ya Ndani (INAD), leo Juni 17, 2026 imeandaa Kongamano la Maadili lililowakutanisha viongozi wa dini mbalimbali kujadili nafasi ya maadili katika...
View ArticleKUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 30 , TRA YAFANYA KONGAMANO LA MAADILI NA...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia Idara ya Mambo ya Ndani (INAD), leo Juni 17, 2026 imeandaa Kongamano la Maadili lililowakutanisha viongozi wa dini mbalimbali kujadili nafasi ya maadili katika...
View ArticleSERIKALI YAENDELEA KUWAWEZESHA WANAWAKE KUPATA MITAJI, MAFUNZO NA MASOKO.
Na Jackline Minja, WMJJWM DodomaSerikali imeendelea kuimarisha jitihada za kuwawezesha wanawake kiuchumi kupitia upatikanaji wa mitaji, mafunzo na masoko ili kuongeza ushiriki wao katika shughuli za...
View ArticleNEMC YASISITIZA USHIRIKIANO WA WADAU KATIKA KUHIFADHI MAZINGIRA
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limehimiza ushirikiano wa karibu kati ya serikali, sekta binafsi, taasisi mbalimbali na wananchi katika juhudi za kulinda na kuhifadhi...
View ArticleMAPACHA WATANO WAZALIWA MUHIMBILI; HOSPITALI KUGHARAMIA GHARAMA ZOTE ZA MATIBABU
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeandika historia nyingine baada ya jopo la madaktari bingwa na wataalamu wa afya kufanikisha salama uzazi wa watoto watano kwa wakati mmoja kwa Bi. Victoria Mkwizu,...
View Article



