Latest Articles
CRDB Yaongeza Ushirikiano na Majeshi Kupitia Mkutano wa Kimataifa
MONACO - Benki ya CRDB imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuunga mkono maendeleo ya Taifa kupitia sekta mbalimbali kwa kushiriki katika Mkutano Mkuu wa 81 wa Michezo ya Majeshi Duniani (81st CISM...
View ArticleAIRTEL, HUAWEI WAIMARISHA USHIRIKIANO KUKUZA MAGEUZI YA KIDIJITALI TANZANIA
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za mawasiliano nchini kupitia matumizi ya teknolojia...
View ArticleARSENAL BINGWA! Angalia safari ya miaka 6 ya Arteta
Shangwe, vigelegele na nderemo za furaha zimerindima England na kote duniani baada ya Arsenal kutunukiwa rasmi ubingwa wa Ligi Kuu ya England msimu wa 2025/26 kufuatia kukwama kwa Man City kwa...
View ArticleRais Samia ashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya Nyuklia barani Afrika (NEISA), Kigali nchini...
View ArticleCRDB Yaongeza Ushirikiano na Majeshi Kupitia Mkutano wa Kimataifa
MONACO - Benki ya CRDB imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuunga mkono maendeleo ya Taifa kupitia sekta mbalimbali kwa kushiriki katika Mkutano Mkuu wa 81 wa Michezo ya Majeshi Duniani (81st CISM...
View ArticleRIO FERDINAND APOKEWA DAR KWA KISHINDO
Na Beda Msimbe, BSKYMediaNahodha na mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya England, Rio Ferdinand, amelakiwa na umati mkubwa wa mashabiki wa soka waliofurika kwa wingi...
View ArticleNAIC 2026: SERIKALI KUHARAKISHA SERA YA AKILI UNDE (AI) KULINDA MAADILI NA...
Na. Vero Ignatus, ARUSHASerikali ipo katika mchakato wa kuharakisha uundaji wa Sera ya Taifa ya Matumizi ya Akili Unde (AI) ili kuweka mfumo rasmi utakaohakikisha teknolojia hiyo inatumika kwa...
View ArticleMgomo wa wahudumu wa usafiri wa umma wasitishwa Kenya
Kwa sasa bei ya mafuta imeshuka kwa shilingi 10 huku bei ya mafuta taa ikipanda kwa shilingi 38 ilhali bei ya petroli ikisalia jinsi ilivyo.
View ArticleWAZIRI MKUU AMPONGEZA MKURUGENZI KONDOA MJI
Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Lameck Nchemba amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kondoa, Said Majaliwa kwa usimamizi, utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Shule ya Ufundi ya Amali Kingale wilayani...
View Article



